Thursday, 24 May 2018
Watanzania Watakiwa Kuiunga Mkono Serikali
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali Dk. Hasani Abbas (Mwenye miwani kulia) akisisitiza jambo alopofanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utendaji kazi wa Maafisa Habari na Mawasiliano wa Halmashuri pamoja na kufahamu changamoto wanazokutana nazo. (Picha na Adrian Lyapembile)
Saturday, 28 April 2018
Hai yapanda miti kusheherekea miaka 54 ya Muungano
![]() |
Katibu Tawala Wilaya ya Hai Bi. Upendo Wella akiongoza zoezi la upandaji miti katika kijiji cha Mtakuja kata ya Kia. |
![]() |
Kameshina wa scout Mkoa wa Kilimanjaro Broity Maktora akishiriki zoezi la upandaji miti. |
![]() |
Afisa maliasili Wilaya ya Hai Bw. Mbayan Mollel akishiriki zoezi la upandaji miti kusheherekea miaka 54 ya muungano. |
Thursday, 26 April 2018
HAI ya sheherekea Muungano kwakupanda miti
Na Zaina Andrew na Praygod Munis
HAI
Wakati maadhimisho ya miaka 54 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyo fanyika leo mjini Dodoma, halmashauri ya wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wamesherehekea sikukuu hiyo kwa kupanda miti katika kata ya Kia kijiji cha Mtakuja.
Katibu tawala wilaya ya Hai Upendo Wella amesema kutokana na watu kushidwa kwenda kwenye maadhimisho hayo mjini Dodoma hivyo ameona ni vyema kutumia muda huo kwa ajili yakupanda miti ili kuboresha mazingira ya wilaya ya Hai pia taifa kwa ujumla, sambamba na kauli mbiu ya "TANZANIA YAKIJANI INAWEZEKANA PANDA MITI KWA MAENDELEIOYA VIWANDA" .
Naye kamishina wa scout mkoani Kilimanjaro Broity Maktora amesema kuwa wameadhimisha muungano kwa kupanda miti kwa lengo la kuboresha amani ya Taifa la Tanzania pia kutekeleza agizo la mkuu wa mkoa kuifanya Kilimanjaro kuwa ya kijani.
Hata hivyo afisa maliasili wa wilaya ya Hai Mbayani Moleli ameeleza kuwa kutakana na changamoto nyingi zinazowakabili zaidi kwenye utunzaji wa miti hiyo kwa baadhi ya wafugaji ila ameeleza kuwa wametoa elimu kwa wanajamii na pia wataendelea kutoa elimu hiyo ili kuweza kuimarisha na kuboresha utunzaji wa miti hiyo .
Kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji cha Mtakuja Teheraki Kipara Moleli amezungumza kuwa kutokana na elimu iliyotolewa kwa wamajamii wamekuwa na uelewa wa umuhimu wa kupanda miti kwani wanajamii hao wanajitihada kubwa ya kuzidi kupanda miti kwenye makazi yao hivyo wanatarajia mabadiliko makubwa ya uboreshwaji wa mazingira.
Saturday, 21 April 2018
DC ahimiza shughuli za kimaendeleo
Mkuu wa Wilaya Ya Hai Mh. Onesmo Buswelu katikati akisikilza maelezo kutoka kwa kamati ya shule ya sekondary Longoi iliyopo kata ya weru weru wilayani Hai mara baada yakufika shuleni hapo. |
Kamati ya shule ya Sekondary Longoi wakimsikiliza kwa umakini mkuu wawilaya ya Hai Onesmo Buswelu baada yakutembelea shuleni hapo. |
DC HAI AAGIZA MTO KUFANYIWA USAFI BAADA YA MAFURIKO KUTOKEA
Meneja wa TARURA Wilaya ya Hai Mhandisi Charles Marwa (kulia) akitoa maelezo katika kijiji cha sanya station katika kata ya Kia baada yakukumbwa na mafuriko. |
![]() |
Mkuu wa wilaya ya Hai Mh. Onesmo Buswelu Akitoa maelekezo kwa viongozi wa kijiji cha sanya station, pamoja na maafisa mazingira wilaya mara baada ya kijiji hicho kukumbwa na mafuriko. |
![]() | |
Mkazi wa kijiji cha sanya station akizungumzia athari ziliz |
![]() |
Eneo ambalo mto umeacha njia yake rasmi nakutengeneza mto mwingine pembeni mara baada ya mvua kubwa kunyesha katika kijiji cha sanya station kata ya Kia wilayani Hai( Picha zote na Davis Minjer) |
Wednesday, 11 April 2018
TASAF yazidi kuwanufaisha kaya masikini Hai
Wananchi Watakiwa Kutunza Miti Wanayootesha
MKUU wa wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Onesmo Buswelu amewataka wananchi kutunza miti inayooteshwa katika kipindi hiki cha mvua ili iweze kukua na kukabiliana na hali ya ukame kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini.
Friday, 23 March 2018
Friday, 9 March 2018
WANAWAKE WASHAURIWA KUJIUNGA NA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI ILI KUFIKIA UCHUMI WA VIWANDA
Wednesday, 7 March 2018
CCM HAI YACHANGIA VIFAA VYA UJENZI KWAAJILI YA UKARABATI WA SHULE
Tuesday, 6 March 2018
Madereva bodaboda chanzo cha ujauzito kwa wanafunzi wilayani Hai.
Sunday, 4 March 2018
MOTO WATEKETEZA VIBANDA VYA WAFANYA BIASHARA HAI
HAI
Wazazi waaswa kutowatelekeza watoto wao Mashuleni
Wazazi na Walezi Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuacha tabia ya kuwatelekeza watoto katika shule wanazo soma pasipo kuwa nao karibu, hali inayosababisha watoto kukosa upendo na malezi kutoka kwa wazazi.
MOTO WATEKETEZA VIBANDA VYA WAFANYA BIASHARA HAI
Na Latifa Botto
HAI
Zaidi ya vibanda saba vinavyotumika kama maduka katika eneo la Machine tools wilayani Hai mkoani Kilimanjaro vimeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huku wafanyabiashara wa eneo hilo wakidai kupata hasara kubwa.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Hamis Isa amesema kuwa chanzo cha moto huo ni hitilafu ya umeme uliosababisha vibanda saba kuteketea kwa moto.
Kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji cha wari ndoo ambaye pia ni shuhuda wa ajali hiyo ya moto bwana Emanuel muro wakati akizungumza na redio boma hai fm eneo la tukio wilayani hai amethibitisha pia kutokea kwa moto huo huku akidai hali halisi ya hasara iliyopatikana bado haijafahamika hadi sasa.
Ameongeza kwa kusema kuwa serikali iwafikirie wafanyabiashara waliopata hasara ya kuunguliwa na maduka yao pamoja na hilo serkali inapaswa kuwapa kibali cha kujenga majengo na si vibanda na kuboresha miundombinu haswa ya maji.
Kwa upande wa mmoja wa wamiliki wamaduka yaliyoungua Bw. Stanley Mushi amesema kuwa moto huo uliosababishwa na hitilafu ya umeme na kuliomba shirika la umeme kuangalia suala hilo na kurekebisha miundombinu yake
Thursday, 1 March 2018
Polisi Yaimarisha ulinzi shuleni baada ya wanafunzi kufanya vurugu
Vurugu za wanafunzi zasababisha shule kufungwa kwa muda Hai
Monday, 26 February 2018
UKAME UNAOENDELEA WAKWAMISHA MAENDELEO YA MITI WILAYA YA HAI
HALI NGUMU YA BIASHARA YAZIDI KUTIKISA WAFANYA BIASHARA WILAYANI HAI
Saturday, 24 February 2018
Hai yatoa taarifa ya mapato na matumizi 2017/2018
HAI
Shule Yafungwa Kwa Muda Usiojulikana
Hai
Tuesday, 20 February 2018
Watakiwa Kuutunza Mlima Kilimanjaro
Afisa maliasili Wilaya ya Hai Bw.Mbayani Mollel akitoa mafunzo juu ya mazingira kwa waalimu wa mazingira kutoka shule 25 wilayani Hai. (picha zote na praygod Munisi) |
Mtaalamu wakilimo Wilaya ya Hai Bw.Simon Gunda akitoa maelezo wakati wa warsha ya mafunzo ya uhifadhi mlima Kilimanjaro kwa waalimu wamazingira kutoka shule 25 wilayani Hai. |
Afisa mazingira wilaya ya Hai Bw.Njigite akitoa maelezo wakati wa warsha ya mafunzo ya uhifadhi mlima Kilimanjaro kwa waalimu wamazingira kutoka shule 25 wilayani Hai. |
Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama
Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...
-
Na Omary Mlekwa HAI HALMASHAURI ya wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro, imetumia zaidi ya shilingi bil 13 ambayo ni sawa na asilimia ...
-
Meneja wa TARURA Wilaya ya Hai Mhandisi Charles Marwa (kulia) akitoa maelezo katika kijiji cha sanya station katika kata ya Kia ...
-
Inspector Shabo wa kituo cha polisi Bomang'ombe wakati akizungumza katika kikao cha mamlaka ya mji mdogo wa Hai Mwenyekiti...