Saturday, 28 April 2018

Hai yapanda miti kusheherekea miaka 54 ya Muungano



Katibu Tawala Wilaya ya Hai Bi. Upendo Wella akiongoza zoezi la upandaji miti katika kijiji cha Mtakuja kata ya Kia.

Kameshina wa scout Mkoa wa Kilimanjaro Broity Maktora akishiriki zoezi la upandaji miti.

Afisa maliasili Wilaya ya Hai Bw. Mbayan Mollel akishiriki zoezi la upandaji miti kusheherekea miaka 54 ya muungano.

''Wazazi Wapelekeni Watoto Kupata Chanjo''DC HAI

Mkuu wawilaya ya Hai Mh. Onesmo Buswelu wakati akizindua chanjo ya polio kwa watoto katika Hospital ya Wilaya ya Hai

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...