Thursday, 4 January 2018

Museveni amuandikia barua Magufuli

Na praygod munisi

Rais wa Uganda Kaguta Museveni leo Januari 4, 2018 amemuandikia ujumbe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kumpa salamu za mwaka mpya pamoja na kuzungumza juu ya ushirikiano wa nchi hizo mbili.

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...