Sunday, 10 December 2017

TANESCO YA FAFANUA KUHUSU KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA LUKU SIKU YA JUMAMOSI


Kaimu uhusiano wa Tanesco Leila Muhaji (kushoto) na Kaimu meneja wa teknolojia na mawasiliano (TEHAMA) wa Tanesco,Demetruce Dashina (kulia) wakati wakizungumza na waandishi wa habari leo.

 

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limewatoa hofu wateja wake juu ya mfumo wa ununuzi wa umeme kwa njia ya luku na kusema kuwa kwa sasa upo sawa na wanaweza kununua katika mifumo iliyozoeleka. 

MSANDO AWAFUNGUKIA UVCCM MBELE YA RAISI MAGUFULI

Wakili msomi, Alberto Msando ambaye alijiunga na (CCM) amefunguka na kuwachana vijana wa chama hicho UVCCM baada ya viongozi wake kumdanganya  Dkt. John Pombe Magufuli juu ya idadi wa vijana wao.

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...