Saturday, 10 February 2018

WAKUU WA SHULE WATAKIWA KUANZISHA JUKWAA LA WAZAZI NA WAALIMU

Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Hai, Julius Kakyama akisisitiza jambo kwenye kikao cha walimu na wazazi wa wanafunzi. (Picha zote na Praygod Munisi)


 Na Praygod Munisi 
HAI

Wakuu washule za secondary za serikali wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuanzisha jukwaa la wazazi na waalimu ndani ya mwezi mmoja ikiwa ni sehemu ya majukumu yao ili kujadiliana mambo mbalimbali kuhusu maendeleo ya shule na wanafunzi.

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...