Wednesday, 13 December 2017

WAZAZI NA WALEZI WATAKIWA KUWA KARIBU NA WATOTO WAO





Na Anna Maduhu

Hai

Wazazi  na walezi wameshuriwa kuwa karibu na watoto wao katika kipindi hiki wanapokuwa likizo za shule kufungwa   ili kubaini changamoto mbalimbali zinzowakabili watoto pamoja na kuwaeleza madhara ya mimba za utotoni.

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...