Na Anna Maduhu
Hai
Wazazi na walezi wameshuriwa
kuwa karibu na watoto wao katika kipindi hiki wanapokuwa likizo za shule
kufungwa ili kubaini changamoto
mbalimbali zinzowakabili watoto pamoja na kuwaeleza madhara ya mimba za
utotoni.
Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...