Friday, 9 March 2018

WANAWAKE WASHAURIWA KUJIUNGA NA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI ILI KUFIKIA UCHUMI WA VIWANDA




 Na Edwine Lamtey

HAI.

Wanawake wametakiwa kujituma na kujiamini katika shughuli mbali mbali za kiuchumia hapa nchini ikiwa ni pamoja na uzalishaji mali kwa njia ya kujiunga katika vikundi vya ujasiriamali ili kuweza kujikimu katika maisha ya sasa  pamoja na kufikia uchumi wa viwanda .

UKOSEFU WA SOKO LA UHAKIKA WA BIDHAA ZA NGOZI WAPELEKEA WAFANYA BIASHARA KUOMBA KUUZA BIDHAA HIYO NJE YA NCHI





Na Salma Shabani

SIHA,

Wafanayabiasha wa bidhaa za Ngozi Wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro,wameomba Serikali kuwaruhusu kuuza bidha hiyo nje ya nchi kutokana na kukosa soko la uhakika hapa nchini

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...