Na Edwine Lamtey
HAI.
Wanawake wametakiwa kujituma na
kujiamini katika shughuli mbali mbali za kiuchumia hapa nchini ikiwa ni pamoja
na uzalishaji mali kwa njia ya kujiunga katika vikundi vya ujasiriamali ili
kuweza kujikimu katika maisha ya sasa
pamoja na kufikia uchumi wa viwanda .