Saturday, 9 December 2017

NAIBU WAZIRI AWAPONGEZA WANANCHI KWA KUCHANGIA MAENDELEO


Moja ya Mabweni katika Shule ya Sekondari Harambee Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro 


Na Riziki Lesuya
HAI

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI George Kakunda amefurahishwa na kuridhishwa na usimamizi wa miradi ya maendeleo Wilayani Hai na kumpongeza Mkurugenzi Mtendaji  Yohana Sintoo  kwa usimamizi mzuri unaoendana  na thamani ya fedha iliyotumika.

SERIKALI KUIFANYIA MAREKEBISHO SHERIA YA MAKOSA YA KUJAMIIANA

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI George Kakunda akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Harambee katika ziara yake Wilaya ya Hai 

Na. Adrian Lyapembile
HAI

Serikali imejipanga kukabiliana na matukio ya mimba za utotoni kwa kufanya marekebisho ya sheria ya makosa ya kujamiiana ya mwaka 1998.
Dhamira hiyo ya Serikali imebainishwa na Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais TAMISEMI George Kakunda katika mkutano aliofanya na watumishi wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...