Saturday, 21 April 2018

DC ahimiza shughuli za kimaendeleo





Mkuu wa Wilaya Ya Hai Mh. Onesmo Buswelu katikati akisikilza maelezo kutoka kwa kamati ya shule ya sekondary Longoi iliyopo kata ya  weru weru wilayani Hai mara baada yakufika shuleni hapo.


Kamati ya shule ya Sekondary Longoi wakimsikiliza kwa umakini mkuu wawilaya ya Hai Onesmo Buswelu baada yakutembelea shuleni hapo.

DC HAI AAGIZA MTO KUFANYIWA USAFI BAADA YA MAFURIKO KUTOKEA



Meneja wa TARURA Wilaya ya Hai Mhandisi Charles Marwa (kulia) akitoa maelezo katika kijiji cha sanya station katika kata ya Kia baada yakukumbwa na mafuriko.

Mkuu wa wilaya ya Hai Mh. Onesmo Buswelu Akitoa maelekezo kwa viongozi wa kijiji cha sanya station, pamoja na maafisa mazingira wilaya mara baada ya kijiji hicho kukumbwa na mafuriko.

Mkazi wa kijiji cha sanya station akizungumzia athari ziliz
otokea mara baada ya mafuriko kutokea kijijini hapo.




Eneo ambalo mto umeacha njia yake rasmi nakutengeneza mto mwingine pembeni mara baada ya mvua kubwa kunyesha katika kijiji cha sanya station kata ya Kia wilayani Hai( Picha zote na Davis Minjer)


Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...