Wednesday, 11 April 2018

TASAF yazidi kuwanufaisha kaya masikini Hai


Na Omary Mlekwa

HAI

WANUFAIKA wa mpango wa kunusuru kaya maskini unaondeshwa na mfuko wa jamii (TASAF) wameshauriwa  kutumia fedha wanazopata kuanzisha shughuli za ujasiriamali ili kuondokana na hali tegemezi .

Wananchi Watakiwa Kutunza Miti Wanayootesha

Na Omary Mlekwa Hai


MKUU wa wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Onesmo Buswelu amewataka wananchi kutunza miti inayooteshwa katika kipindi hiki cha mvua ili iweze kukua na kukabiliana na hali ya ukame kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini.

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...