Na Omary Mlekwa
HAI
WANUFAIKA wa mpango wa kunusuru kaya maskini unaondeshwa na
mfuko wa jamii (TASAF) wameshauriwa
kutumia fedha wanazopata kuanzisha shughuli za ujasiriamali ili
kuondokana na hali tegemezi .
Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...