Sunday, 11 February 2018

MGOMBEA UBUNGE AIHIDI NEEMA KWA WAZEE

Na Bahati Chume SIHA

Mgombea ubunge kupitia chama cha wananchi Cuf Tumsifieli Mwanry amesema akichaguliwa atahakikisha Wazee wanapata matibabu bila usumbufu wowote.
  

WATAKIWA KUMCHAMGUA MBUNGE ATAKAELETA MAENDELEO

Na Bahati Chume SIHA

Wananchi Wa kata ya miti mirefu wilayani Siha mkoani Kilimanjaro wametakiwa kumchagua Mbunge atayeleta Maendeleo.  


Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...