Na Bahati Chume SIHA
Mgombea ubunge kupitia chama cha wananchi Cuf Tumsifieli Mwanry amesema akichaguliwa atahakikisha Wazee wanapata matibabu bila usumbufu wowote.
Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...