Thursday, 1 March 2018

Polisi Yaimarisha ulinzi shuleni baada ya wanafunzi kufanya vurugu

Na Omary Mlekwa 

JESHI la polisi mkoa wa Kilimanjaro,limeimarisha  ulinzi na usalama katika shule ya sekondari ya Lyamungo iliyopo kata ya Machame Mashariki wilayani Hai kufuatia vurugu zilizojitokeza baina ya wanafunzi na walimu wa nidhamu wa shule hiyo.

Vurugu za wanafunzi zasababisha shule kufungwa kwa muda Hai

NA OMARY MLEKWA

HAI
 
SERIKALI wilaya Hai mkoani Kilimanjaro imeifunga shule ya Sekondari ya Lyamungo kwa zaidi ya wiki mbili baada ya Wanafunzi kufanya vurugu na uharibifu wakipinga mwenzao kufukuzwa shuleni hapo.

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...