Na Omary Mlekwa
JESHI la polisi mkoa wa Kilimanjaro,limeimarisha ulinzi na usalama katika shule ya sekondari ya Lyamungo iliyopo kata ya Machame Mashariki wilayani Hai kufuatia vurugu zilizojitokeza baina ya wanafunzi na walimu wa nidhamu wa shule hiyo.