Wednesday, 7 March 2018
CCM HAI YACHANGIA VIFAA VYA UJENZI KWAAJILI YA UKARABATI WA SHULE
HAI
CHAMA cha mapinduzi (CCM)
Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro kimetoa msaada wa vifaa vya ujenzi katika shule
ya msingi Kibohehe kwa lengo la
kukarabati shule hiyo ambayo iliezuliwa paa na kuharibika miundombinu yake na
kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja wa darasa la Sita
Subscribe to:
Posts (Atom)
Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama
Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...
-
Na Omary Mlekwa HAI HALMASHAURI ya wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro, imetumia zaidi ya shilingi bil 13 ambayo ni sawa na asilimia ...
-
Meneja wa TARURA Wilaya ya Hai Mhandisi Charles Marwa (kulia) akitoa maelezo katika kijiji cha sanya station katika kata ya Kia ...
-
Inspector Shabo wa kituo cha polisi Bomang'ombe wakati akizungumza katika kikao cha mamlaka ya mji mdogo wa Hai Mwenyekiti...