Wednesday, 7 March 2018

SERIKALI KILIMANJARO YASHAURIWA KUTOA ELIMU KWA WAVUVI



 

Mwenyekiti wa Chama cha ACT wazalendo Mkoa Wa Kilimanjaro mwalimu Mgala Ramadhani [katikati} wakati akizungumza na waandishi wa Habari Kilimanjaro.[picha na Edwine Lamtey]


CCM HAI YACHANGIA VIFAA VYA UJENZI KWAAJILI YA UKARABATI WA SHULE




HAI 
CHAMA cha mapinduzi (CCM) Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro kimetoa msaada wa vifaa vya ujenzi katika shule ya msingi Kibohehe kwa lengo la kukarabati shule hiyo ambayo iliezuliwa paa na kuharibika miundombinu yake na kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja wa darasa la Sita 

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...