Na mwandishi wetu
HAI
Mkazi wa kijiji cha Warisinde kata ya machame Kaskazini
Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro Amemu Muru (47)ameomba msaada wa sh,800,000
anazodaiwa katika Hospitali ya Mkwarungo iliyopo machame wilayani humo ili
aweze kuruhusiwa kutoka hospitalini hapo.