Tuesday, 12 December 2017

AOMBA MSAADA WA MALIPO YA MATIBABU BAADA YAKUCHOMWA KISU



Na mwandishi wetu

HAI

Mkazi wa kijiji cha Warisinde kata ya machame Kaskazini Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro Amemu Muru (47)ameomba msaada wa sh,800,000 anazodaiwa katika Hospitali ya Mkwarungo iliyopo machame wilayani humo ili aweze kuruhusiwa kutoka hospitalini hapo.


WENYEVITI WA VITONGOJI WATAKIWA KUSIMAMIA ULINZI NA USALAMA




Inspector Shabo wa kituo cha polisi Bomang'ombe wakati akizungumza katika kikao cha mamlaka ya mji mdogo wa Hai

Mwenyekiti wa mtaa wa Kingereka B, Saidi Seifu Mkambala wakati akizungumza katika kikao cha kamati ya mamlaka ya Mji mdogo wa Hai

WATAKIWA KUBUNI MIRADI YA MAENDELEO



HAI


WAUMINI wa dini ya Kiislamu Nchini wametakiwa kubuni miradi ya maendeleo itakayo wasaidia kukuza kipato cha familia na nchi kwa ujumla


Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...