HAI
YAJIPANGA KUSAIDIA VIKUNDI VYA UFUGAJI NYUKI
NA
OMARY MLEKWA NA QUEEN NDOSY
HALMASHAURI
ya wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro imejipanga kuviwezesha vikundi vya
ujasilimali vinavyojishughulisha na uzalishaji wa asali ili viweze kuzalisha
kwa ubora hali ambayo itasaidia kujiongezea kipato.
Mkurugenzi
wa halmashauri hiyo, Ndg Yohana Sintoo aliyasema hayo wakati alipotembea
kiwanda cha mradi wa asali cha Hai (HABECO)kilichopo wilayani hapa
cha kusafisha na kuhifadhi asali
cha ufugaji wa nyuki na kupanua uzalishaji
wa asali.
Kwa
upande mratibu wa mradi huo, Japheti
Mmari alisema mradi huo umewasaidia wanavikundi wengi kutoka wilaya za Hai,
Rombo na Siha kutokana na kununua asali kwao kwa ajili ya kuja kuzisafisha kwa
mashine ya kisasa .
Mmary
alisema kuwa mpaka sasa wameshindwa kukusanya asali yote kutoka kwa wazalishaji
kutokana na kutokuwa na mtaji wa kutosha
na kuomba serikali kuwasaidia kuwaongezea
mtaji ili waweze kukusanya asali kwa wingi
No comments:
Post a Comment