Monday, 20 November 2017



HAI YAJIPANGA KUSAIDIA VIKUNDI VYA UFUGAJI NYUKI

NA OMARY MLEKWA NA QUEEN NDOSY

HALMASHAURI ya wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro imejipanga kuviwezesha vikundi vya ujasilimali vinavyojishughulisha na uzalishaji wa asali ili viweze kuzalisha kwa ubora hali ambayo itasaidia kujiongezea kipato. 




NGOMBE ELFU 68 KUPIGWA CHAPA WILAYANI  HAI.


Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Ya Hai Ndg, Yohana Sinto Akizungumza na Baadhi ya wafugaji katika kijiji cha Sanya Station Kata ya Kia Wakati alipotembelea kijiji hicho kujionea zoezi la upigaji chapa kwa ng"ombe wawafugaji hao. (picha na Omary Mlekwa)
 
Zoezi la upigaji chapa ng'ombe Wilayani Hai likiwa linaendelea katika kijiji cha Sanya Station Mkoani Kilimanjaro (pcha na Omary Mlekwa)

 NA OMARY MLEKWA NA QUEEN NDOSY, -Hai

ZAIDI ngombe elfu 68 zinatarajiwa kupigwa chapa katika zoezi lililoanza kwenye Halmashauri ya wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro  ili kutekeleza Agizo la wizara ya Mifugo na Uvuvi ambapo linatarajiwa kukamilika Desemba 30 mwaka huu.


Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...