Thursday, 24 May 2018

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye Kipindi cha Siku Mpya kinachurushwa na Redio Boma Hai 89.3 FM.  (Picha na Adrian Lyapembile)

Korosho kuimarisha Uchumi Wilaya ya Hai



Katibu Tawala Wilaya ya HAi Upendo Wella (aliyevaa miwani na skafu nyeusi) akiwaongoza viongozi wa ngazi mbalimbali kulipokea zao la korosho na kuinua juu miche ya zao hilo kama ishara ya kuinua uchumi katika Wilaya ya Hai (Picha zote na Praygod Munisi)


Watanzania Watakiwa Kuiunga Mkono Serikali

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali Dk. Hasani Abbas (Mwenye miwani kulia) akisisitiza jambo alopofanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utendaji kazi wa Maafisa Habari na Mawasiliano wa Halmashuri pamoja na kufahamu changamoto wanazokutana nazo. (Picha na Adrian Lyapembile)

Watumiaji wa Barabara Watakiwa Kutii Sheria za Usalama

Mkuu wa Kitengo cha Usalama barabarani Mkoa wa Kilimanjaro Mrakibu Msaidizi wa Polisi Sauda Mohamed akizungumza na wananchi kwenye ...